Giriş yap
Giriş yap
Giriş yap
Dil Seçin

Tefsir: Al-Qamar 54:16

54:16
فكيف كان عذابي ونذر ١٦
فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِى وَنُذُرِ ١٦
فَكَيۡفَ
كَانَ
عَذَابِي
وَنُذُرِ
١٦
Benim azabım ve uyarmam nasılmış?
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
basi je kuna wakuwaidhika awaidhike? Na ilikuwa vipi adhabu yangu na maonyo yangu kwa aliyenikufuru mimi, akawakanusha Mitume wangu na asiwaidhike kwa walichokuja nacho? Hakika hiyo ilikuwa kubwa yenye uchungu.