Giriş yap
Giriş yap
Giriş yap
Dil Seçin

Tefsir: Al-Qasas 28:41

28:41
وجعلناهم ايمة يدعون الى النار ويوم القيامة لا ينصرون ٤١
وَجَعَلْنَـٰهُمْ أَئِمَّةًۭ يَدْعُونَ إِلَى ٱلنَّارِ ۖ وَيَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ لَا يُنصَرُونَ ٤١
وَجَعَلۡنَٰهُمۡ
أَئِمَّةٗ
يَدۡعُونَ
إِلَى
ٱلنَّارِۖ
وَيَوۡمَ
ٱلۡقِيَٰمَةِ
لَا
يُنصَرُونَ
٤١
Onları, ateşe çağıran önderler kıldık; kıyamet günü yardım görmezler.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Na tumemfanya Fir’awn na watu wake ni wenye kuongoza kwenye njia ya motoni, wakifuatwa na watu wa ukafiri na uasi. Na Siku ya Kiyama hawataokolewa. Hiyo ni kwa sababu ya ukafiri wao na kuwakanusha kwao Mitume wa Mola wao na kuendelea kwao kufanya hivyo.