Bunun üzerine kalkıp gittiler; sonunda bir gemiye bindiklerinde, o gemiyi deliverdi; Musa: "Gemiyi içindekileri boğmak için mi deldin? Doğrusu şaşılacak bir şey yaptın" dedi.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Wakatoka kwenda kwenye ufuo wa pwani, ikawapita mashua, wakawataka wenyewe wapande na wao. Walipopanda Al-Khiḍr aliukoboa ubao kutoka kwenye mashua na akaitoboa tundu. Mūsā akamwambia,»Umeitoboa mashua ili uwazamishe wenyewe, na hali wao walituchukua bila malipo? Kwa hakika umefanya jambo baya.»