Rabbe kul olanlar ve bilginlerin onlara günah söz söylemeyi ve haram yemeyi yasak etmeleri gerekmez miydi? Yapmakta oldukları ne kötüdür!
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Mbona viongozi wao na wasomi wao hawawakatazi hawa ambao wanayakimbilia madhambi na kufanya uadui, kusema urongo, uzushi na kula mali za watu kinyume na haki? Ni kiovu mno walichokifanya, walipoacha kukataza munkar (mabaya).