İnanmış olan adam dedi ki: "Ey milletim! Doğrusu ben sizin için, Nuh milletinin, Ad, Semud ve onlardan sonra gelenlerin durumu gibi, peygamberleri yalanlayan toplulukların uğradıkları bir günün benzerinden korkuyorum. Allah kullara zulüm dilemez."
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
«Mfano wa mwenendo wa watu wa Nūḥ, 'Ād, Thamūd na waliokuja baada yao katika ukafiri na ukanushaji, ambao Mwenyezi Mungu Aliwaangamiza kwa sababu ya hilo. Na Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika, Hataki kuwafanyia maonevu waja, Akawa Atawaadhibu bila dhambi walilolitenda. Mwenyezi Mungu Yuko juu sana mno kwa kujiepusha na maonevu na upungufu.