Giriş yap
Giriş yap
Giriş yap
Dil Seçin

Tefsir: Al-Mu'minun 23:53

23:53
فتقطعوا امرهم بينهم زبرا كل حزب بما لديهم فرحون ٥٣
فَتَقَطَّعُوٓا۟ أَمْرَهُم بَيْنَهُمْ زُبُرًۭا ۖ كُلُّ حِزْبٍۭ بِمَا لَدَيْهِمْ فَرِحُونَ ٥٣
فَتَقَطَّعُوٓاْ
أَمۡرَهُم
بَيۡنَهُمۡ
زُبُرٗاۖ
كُلُّ
حِزۡبِۭ
بِمَا
لَدَيۡهِمۡ
فَرِحُونَ
٥٣
Ama insanlar din konusunda aralarında bölük bölük oldular. Her bölük kendi tuttuğu yoldan memnundur.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Na wafuasi walipambanukana katika dini wakawa makundi na mapote, wakaifanya dini yao kuwa dini nyingi baada ya kuamrishwa wajikusanye pamoja. Kila kundi linajigamba kwa maoni yake, linadai kuwa kundi hilo liko kwenye haki na lingine liko kwenye batili. Katika haya pana onyo la kujiweka kwenye makundi na kupambanukana katika Dini.