Beğenmediklerini Allah'a malederler. Dilleri, güzel şeylerin kendilerine ait olduğunu yalan yere söyler durur. Cehennemin onların olduğunda ve önceden oraya gideceklerinde şüphe yoktur.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Na miongoni mwa maovu yao, ni kwamba wao wanawafanya ni wa Mwenyezi Mungu watoto wa kike ambao wao wenyewe wanawachukia. Na ndimi zao zinasema urongo kwamba wao watakuwa na mwisho mwema. Kwa kweli, wao watakuwa na Moto na wao ni wenye kuachwa humo na kusahauliwa.