Firavun: "Ben size izin vermeden ona iman mı ettiniz? Muhakkak ki o, size sihri öğreten büyüğünüzdür. Şimdi bileceksiniz; ellerinizi ayaklarınızı, and olsun, çaprazlama kestireceğim, hepinizi astıracağım" dedi.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Fir’awn akasema kuwaambia wachawi kwa kukataa, «Mumemkubali Mūsā bila ya idhini yangu!» Na akasema akiashiria kuwa kitendo cha Mūsā ni uchawi, «Yeye ni mkubwa wenu aliyewafundisha nyinyi uchawi, basi mtayajua mateso yatakayowafikia. Nitaikata mikono yenu na miguu yenu kitafauti: kwa kuukata mkono wa kulia na mguu wa kushoto au kinyume chake, na nitawasulubu nyote.»