İnkar edenler, tekrar dirilmeyeceklerini ileri sürerler. De ki: "Evet; Rabbime and olsun ki, şüphesiz diriltileceksiniz ve sonra, yaptıklarınız size bildirilecektir. Bu, Allah'a kolaydır."
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Walidai wale waliomkanusha Mwenyezi Mungu kwa ubatilifu kwamba wao hawatatolewa kwenye makaburi yao baada ya kufa. Waambie, ewe Mtume, «Ndio. Naapa kwa Mola wangu! Mtatolewa makaburini mwenu mkiwa hai, kisha mtapewa habari ya yale mliyoyafanya duniani. Na hilo kwa Mwenyezi Mungu ni sahali na rahisi.