Ey inananlar! Doğrusu puta tapanlar pistirler, bu sebeple, bu yıllardan sonra Mescidi Haram'a yaklaşmasınlar. Eğer fakirlikten korkarsanız, bilin ki Allah dilerse sizi bol nimetiyle zenginleştirecektir. Allah şüphesiz bilendir, hakimdir.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Enyi mkusanyiko wa Waumini, hakika washirikina ni najisi na ni wachafu, hivyo basi msiwape nafasi kusongea kwenye eneo la Ḥarām baada ya mwaka huu wa tisa wa hijria (kalenda ya Kiislamu). Na iwapo mtachelea umasikini, kwa kukatikiwa na biashara zao, Mwenyezi Mungu Atawapa badala yake na Atawatosheleza kwa fadhila Zake Atakapo. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi mno wa hali zenu, ni Mwingi wa hekima katika kuyapeleka mambo yenu.