İkisinden, kurtulacağını sandığı kimseye Yusuf: "Efendinin yanında beni an" dedi. Ama şeytan efendisine onu hatırlatmayı unutturdu ve Yusuf bu yüzden daha birkaç yıl hapiste kaldı.
Tefsirler
Katmanlar
Dersler
Yansımalar
Cevaplar
Kıraat
Hadis
Hapo Yūsuf akamwambia yule aliyemjua kuwa ataokoka kati ya wale marafiki wake wawili, «Nitaje kwa bwanako mfalme na umwelezee kwamba mimi nimedhulumiwa, nimefungwa bila hatia.» Shetani akamsahaulisha mwanamume yule kumtajia mfalme hali ya Yūsuf, na kwa hivyo akakaa Yūsuf ndani ya jela myaka kadha.