There they will have whatever they wish for, forever. That is a promise ˹to be sought after˺, binding on your Lord.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hawa wenye utiifu watavipata wanavyovitamani vya ladha za neema, starehe yao humo ni ya daima, na kuingia kwao humo ilikuwa ni ahadi ya Mola wako, ewe Mtume, yenye kuombwa, kwa kuwa waja wema wa Mwenyezi Mungu wanamuomba (hiyo Pepo). Na Mwenyezi Mungu Haendi kinyume na ahadi Yake.