Similarly, whenever We sent a warner to a society before you ˹O Prophet˺, its ˹spoiled˺ elite would say, “We found our forefathers following a ˹particular˺ way, and we are walking in their footsteps.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hivyo ndivyo ilivyo, hatukutumiliza kabla yako wewe, ewe Mtume, muonyaji yoyote kwenye kijiji chochote, mwenye kuwaonya adhabu yetu kwa kutukanusha, na akawaonya na kuwahadharisha adhabu yetu, isipokuwa wale ambao ziliwatia kiburi neema miongoni mwa viongozi na wakubwa huwa wakisema, ”Sisi tuliwakuta baba zetu kwenye mila na dini, na sisi ni wenye kufuata mwenendo wao na njia yao.”