˹They did not eat,˺ so he grew fearful of them.1 They reassured ˹him˺, “Do not be afraid,” and gave him good news of a knowledgeable son.2
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Alipowaona hawali aliingiwa na kicho cha kuwaogopa, na hapo wakamwambia, «Usiogope! Sisi ni wajumbe wa Mwenyezi Mungu. Na wakampa bishara kwamba mkewe Sarah atamzalia mtoto atakayekuwa ni miongoni mwa watu wanaomjua Mwenyezi Mungu na kuijua Dini Yake, naye ni Isḥāq, amani imshukie.