So what message after this ˹Quran˺ would they believe in?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Iwapo wao hawataiamini hii Qur’ani, basi wataamini kitabu gani na maneno gani baada yake? Na Qur’ani yenyewe ni Kitabu kilichobainisha kila kitu, kilicho wazi katika hekima zake, hukumu zake na habari zake, chenye kushinda katika matamko yake na maana yake.