اور ہم نے آزمایا تھا ان سے پہلے قوم فرعون کو بھی اور ان کے پاس بھی ایک بہت معزز رسول آیا تھا
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Hakika sisi tushawafanyia mtihani na kuwajaribu watu wa Fir’awn kabla ya hawa washirikina, na aliwajia wao Mtume mtukufu, naye ni Mūsā, amani imshukie, wakamkanusha na wakaangamia. Basi hivi ndivyo tutakavyowafanya maadui zako, ewe Mtume, wasipoamini.