یوں ہی ہوا اور ہم نے وارث بنا دیا ان چیزوں کا دوسرے لوگوں کو
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Mfano wa mateso hayo ndivyo Mwenyezi Mungu Anavyowatesa wenye kukanusha na kubadilisha neema za Mwenyezi Mungu kwa kuzikanusha. Na tuliwarithisha neema hizo, baada ya Fir’awn na watu wake, watu wengine waliokuja baada yao wakashika nafasi yao miongoni mwa Wana wa Isrāīl.