تو آپ ﷺ یاد دہانی کراتے رہیے اگر یاد دہانی فائدہ دے۔
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Basi wawaidhie kaumu zako, ewe Mtume, kwa namna tulivyokutayarishia ufanye kwenye wahyi ulioletewa, uwaongoze njia yenye kheri na wao na uwahusu kwa mawaidha yako wale wanaotarajiwa kuwaidhika nayo. Wala usijisumbue kuwashauri wale ambao mawidha hayawaathiri isipokuwa kuwatia ujeuri na kuwafanya wayakimbie.