کیا انہوں نے غور نہیں کیا کہ ان کے ساتھی (محمد ﷺ کو کوئی جنون نہیں ہے وہ نہیں ہیں مگر واضح طور پر خبردار کردینے والے
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Kwani hawafikirii hawa ambao walizikanusha aya zetu wakazingatia kwa akili zao na wakajua kwamba Muhammad hana wazimu? Yeye hakuwa isipokuwa ni mwenye kuwaonya wao mateso ya Mwenyezi Mungu kwa kumkanusha kwao Yeye, iwapo hawataamini, na ni mshauri muaminifu.