اور اپنے رب کو یاد کرتے رہا کرو اپنے جی ہی جی میں عاجزی اور خوف کے ساتھ اور بلند آواز سے نہیں (پست آواز سے) اور غافلوں میں سے نہ ہوجائیے
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Na mtaje Mola wako, ewe Mtume, ndani ya nafsi yako kwa kumnyenyekea Mwenyezi Mungu na kumdhalilikia, hali ya kumcha Yeye moyoni, na umuombe kwa namna ya kati na kati baina ya kutoa sauti na kuifanya chini, katika mwanzo wa mchana na mwisho wake, na usiwe ni miongoni mwa wenye kughafilika kumtaja Mwenyezi Mungu na kupumbaa katika nyakati zao zinginezo.