اور انہوں نے تکذیب کی اور اپنی خواہشات کی پیروی کی
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Na walimkanusha Nabii, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, wakafuata upotevu wao na kile cha ukanushaji ambacho matamanio yao yaliwavuta kwacho. Na kila jambo, la kheri au la shari, litawashukia wanaostahili Siku ya Kiyama yatakapodhihiri malipo na mateso.