اور یہ بات رحمن کے شایان شان نہیں ہے کہ وہ (کسی کو اپنی) اولاد بنائے
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Haifai kwa Mwenyezi Mungu na hainasibiani na Yeye Awe na mtoto, kwani kuwa na mtoto ni dalili ya upungufu na mahitajio, na Mwenyezi Mungu Ndiye Mkwasi Mwenye kuhimidiwa Aliyeepushwa na sifa zote za upungufu.