اور نوح ؑ نے کہا : اے میرے پروردگار ! اب ُ تو اس زمین پر کافروں کا بستا ہوا ایک گھر بھی مت چھوڑ۔
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Na akasema Nūḥ, amani imshukie, baada ya kukata tama na watu wake, «Mola wangu! Usimuache yoyote miongoni mwa wale wanaokukanusha kuwa ni mwenye kuishi juu ardhi akizunguka na kutembea.