Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: As-Saffat 37:50

37:50
فاقبل بعضهم على بعض يتساءلون ٥٠
فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍۢ يَتَسَآءَلُونَ ٥٠
فَأَقۡبَلَ
بَعۡضُهُمۡ
عَلَىٰ
بَعۡضٖ
يَتَسَآءَلُونَ
٥٠
Then they will turn to one another inquisitively.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hapo wataelekeana wakiulizana kuhusu hali zao za duniani na mambo ya usumbufu waliokuwa wakikutana nayo huko, na yale ambayo Mwenyezi Mungu Aliwaneemesha nayo Peponi. Na huku ndiko kuliwazika kuliotimia.