Then he ˹stealthily˺ advanced towards their gods, and said ˹mockingly˺, “Will you not eat ˹your offerings˺?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Akabeta kwa haraka kuelekea kwenye masanamu wa watu wake, akasema kwa njia ya kuwakejeli, «Si mkile chakula hiki ambacho washika mlango wenu wanawapatia?