Ngươi (hỡi Thiên Sứ Muhammad) hãy bảo những kẻ vô đức tin nếu chúng biết dừng lại (việc ngăn chặn Islam và có đức tin nơi Allah) thì tội lỗi của chúng trong quá khứ sẽ được tha thứ, còn nếu chúng tiếp tục ngoan cố thì quả thật tiền lệ của các dân tộc [nổi loạn] trước đây (sẽ là sự cảnh báo dành cho chúng).”
— Ruwwad Center
Tafsirs
Các lớp
Bài học
Suy ngẫm
Câu trả lời
Qiraat
Hadith
Sema, ewe Mtume, kuwaambia wale waliokanusha upweke wa Mwenyezi Mungu miongoni mwa Washirikina wa watu wako kwamba watakomeka na ukafiri na kumfanyia uadui Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukiye, na wakarudi kumuamini Mwenyezi Mungu Peke Yake na kutompiga vita Mtume na Waumini, Mwenyezi Mungu Atawasamehe madhambi yaliyopita, kwani Uislamu unafuta yaliyopita. Na watakaporudia washirikina hawa kukupiga vita baada ya tukio ambalo ulipata ushindi juu yao siku ya Badr, basi mwendo wa watu wa mwanzo umetangulia, nao ni kwamba wao wakikanusha na wakaendelea kwenye ukaidi wao, tutawaletea adhabu na mateso kwa haraka.