Khi chúng được bảo “Hãy đến đây, Sứ Giả của Allah sẽ cầu xin Ngài tha thứ tội lỗi cho các ngươi” thì chúng quay đầu sang một bên. Ngươi (Thiên Sứ Muhammad) sẽ thấy chúng bỏ đi một cách kiêu ngạo.
— Ruwwad Center
Tafsirs
Các lớp
Bài học
Suy ngẫm
Câu trả lời
Qiraat
Hadith
Na wanapoambiwa hawa wanafiki, «Njooni huku hali ya kutubia mtake udhuru wa hayo yaliyotokea kwenu ya maneno maovu na mazungumzo ya ufidhuli, ili Mtume wa Mwenyezi Mungu awaombee Mwenyezi Mungu msamaha wa dhambi zenu , huvigeuza vichwa vyao na wakavitikisa kwa njia ya shere na kiburi. Na utawaona, ewe Mtume, wanakupa mgongo na huku wao wanalifanyia kiburi jambo la kufuata yale ambayo walitakiwa wayafuate.