Lẽ nào Allah không đủ giúp cho Người Bề Tôi (Muhammad) của Ngài?! Họ muốn làm cho Ngươi (hỡi Thiên Sứ) sợ những ai khác ngoài Ngài. Và ai mà Allah làm cho lầm lạc thì y sẽ không có người hướng dẫn đúng đường.
— Ruwwad Center
Tafsirs
Các lớp
Bài học
Suy ngẫm
Câu trả lời
Qiraat
Hadith
Je, kwani Mwenyezi Mungu si Mwenye kumtosheleza mja Wake Muhammad vile vitisho vya washirikina na vitimbi vyao kuwa wao hawatamfikia kwa ubaya wowote? Ndio, Yeye Atamtosheleza katika jambo la Dini yake na dunia yake, na Atamtetea dhidi ya yoyote anayemtaka kwa ubaya. Na wao wanakutisha, ewe Mtume, na waungu wao wanaodai kuwa watakudhuru. Na yoyote yule ambaye Mwenyezi Mungu Ameondoa msaada Wake kwake na Akamfanya apotee njia ya haki, basi huyo hana muongozi wa kumuongoza Kwake.