Allah là Đấng Tối Cao, Đức Vua Đích Thực. Và Ngươi (Muhammad) chớ hấp tấp với Qur'an trước khi việc mặc khải Nó sẽ hoàn tất cho Ngươi, mà Ngươi hãy cầu nguyện: “Lạy Thượng Đế của bề tôi! Xin Ngài ban thêm kiến thức cho bề tôi.”
— Ruwwad Center
Tafsirs
Các lớp
Bài học
Suy ngẫm
Câu trả lời
Qiraat
Hadith
Ameepukana Mwenyezi Mungu, kutakata ni Kwake, na Amekuwa juu na ametakasika na kila upungufu, Aliye Mfalme Ambaye mamlaka Yake yamemtendesha nguvu kila mfalme na mjeuri, Mwenye kuendesha kila kitu, Ambaye Yeye Ndiye ukweli, na agizo Lake ni kweli, na onyo Lake ni kweli, na kila kitu kinachotoka Kwake ni kweli. Na usifanye haraka, ewe Mtume, ya kushindana na Jibrili katika kuipokea Qur’ani kabla hajaimaliza, na useme, «Mola wangu! Niongezee elimu juu ya ile uliyonifundisha.»