Then they will not be able to make a ˹last˺ will, nor can they return to their own people.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hawataweza hawa washirikina wakati wa kuvuviwa barugumu kumuusia yoyote kitu chochote, wala hawataweza kurejea kwa watu wao, bali watakufa wakiwa kwenye masoko yao na pale walipo.