The decree ˹of torment˺ has already been justified against most of them, for they will never believe.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika imeshapasa adhabu juu ya wengi wa hawa makafiri, baada ya kuonyeshwa haki wakaikataa, kwa kuwa hawamuamini Mwenyezi Mungu wala Mtume Wake wala hawafuati Sheria Zake kivitendo.