Alif-Lãm-Ra. These are the verses of the Book, rich in wisdom.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
(Alif, Lām, Rā’.) Yametangulia maelezo juu ya herufi zilizotajwa kimkato mwanzo wa sura ya Al- Baqarah. Hizi ni aya za Kitabu kilichopangwa vizuri ambacho Mwenyezi Mungu Amekipanga na kukifafanua kwa waja Wake.