It is not for any soul to believe except by Allah’s leave, and He will bring His wrath upon those who are unmindful.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Haikuwa nafsi yoyote ni yenye kumuamini Mwenyezi Mungu isipokuwa kwa idhini Yake na taufiki Yake. Basi usiisumbue nafsi yako katika hilo, kwani mambo yao yako kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu Ataajaalia adhabu na hizaya kwa wale ambao hawayatii akilini maamrisho Yake na makatazo Yake.