Then the wrongdoers will be told, “Taste the torment of eternity! Are you not rewarded except for what you used to commit?”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kisha wataambiwa waliozidhulumu nafsi zao kwa kumkanusha kwao Mwenyezi Mungu, «Onjeni adhabu ya Mwenyezi Mungu ya daima milele kwenu, kwani mnateswa isipokuwa ni kwa yale matendo ya kumuasi Mwenyezi Mungu mliokuwa mkiyafanya katika maisha yenu.