And Allah establishes the truth by His Words—even to the dismay of the wicked.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Mwenyezi Mungu Atauimarisha ukweli niliokuja nao kutoka Kwake Ataufanya uwe juu ya ubatilifu wenu kwa maneno Yake na amri Yake, ingawa watu wahalifu wenye kufanya maasia, miongoni mwa jamaa za Fir'awn, wanachukia.