Joseph proposed, “Put me in charge of the store-houses of the land, for I am truly reliable and adept.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Yūsuf akataka kuwanufaisha waja na kueneza uadilifu baina yao, alimwambia mfalme, «Nifanye mimi kuwa msimamizi wa hazina za Misri, kwani mimi ni mshika hazina mwaminifu mwenye ujuzi na busara juu ya vitu ninavyosimamia.»