When they entered Joseph’s presence, he called his brother ˹Benjamin˺ aside, and confided ˹to him˺, “I am indeed your brother ˹Joseph˺! So do not feel distressed about what they have been doing.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na walipoingia ndugu zake Yūsuf kwake, katika nyumba yake ya kukaribisha wageni, wakiwa pamoja na ndugu yake wa kwa baba na mama, Yusuif alimkumbatia nduguye wa kwa baba na mama na akamwambia kwa siri, «Mimi ni ndugu yako. Basi usihuzunike wala usiingiwe na dhiki kwa yale waliyonifanyia kipindi kilichopita.» Na akamuamuru alifiche jambo hilo kwao.