When they entered Joseph’s presence, he received his parents ˹graciously˺ and said, “Enter Egypt, Allah willing, in security.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ya’qūb na watu wa nyumbani kwake wakatoka kuelekea Misri wakimkusudia Yūsuf. Walipofika kwake, Yūsuf aliwakumbatia wazazi wake wawili na akawaambia (wao wote), «Ingieni Misri kwa matakwa ya Mwenyezi Mungu na hali mkiwa mko kwenye amani na mumeepukana na shida, ukame na kila zito.»