登入
登入
登入
选择语言

经注: Yunus 10:106

10:106
ولا تدع من دون الله ما لا ينفعك ولا يضرك فان فعلت فانك اذا من الظالمين ١٠٦
وَلَا تَدْعُ مِن دُونِ ٱللَّهِ مَا لَا يَنفَعُكَ وَلَا يَضُرُّكَ ۖ فَإِن فَعَلْتَ فَإِنَّكَ إِذًۭا مِّنَ ٱلظَّـٰلِمِينَ ١٠٦
وَلَا
تَدۡعُ
مِن
دُونِ
ٱللَّهِ
مَا
لَا
يَنفَعُكَ
وَلَا
يَضُرُّكَۖ
فَإِن
فَعَلۡتَ
فَإِنَّكَ
إِذٗا
مِّنَ
ٱلظَّٰلِمِينَ
١٠٦
切莫舍真主而祈祷那对于你既无福又无祸的东西。假若你那祥做,你就必定是一个不义的人。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Wala usiwaombe, ewe Mtume, wasiokuwa Mwenyezi Mungu miongoni mwa mizimu na masanamu, kwani wao hawanufaishi wala hawadhuru. Na ufanyapo hilo na ukawaomba wasiokuwa Mwenyezi Mungu, hapo wewe utakuwa ni miongoni mwa wenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, wenye kujidhulumu nafsi zao kwa ushirikina na kufanya maasia. Maneno haya ingawa anaambiwa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, pia wanaambiwa umma wote.