登入
登入
登入
选择语言

经注: Yunus 10:96

10:96
ان الذين حقت عليهم كلمت ربك لا يومنون ٩٦
إِنَّ ٱلَّذِينَ حَقَّتْ عَلَيْهِمْ كَلِمَتُ رَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ ٩٦
إِنَّ
ٱلَّذِينَ
حَقَّتۡ
عَلَيۡهِمۡ
كَلِمَتُ
رَبِّكَ
لَا
يُؤۡمِنُونَ
٩٦
被你的主的判词所判决的人,必定不信道;
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hakika ya wale ambao limethibiti kwao neno la Mola Wako la kuwafukuza kwenye rehema Yake na kuwaadhibu, hawaziamini hoja za Mwenyezi Mungu, hawaukubali upweke Wake wala hawazifuati sheria Zake kivitendo.