登入
登入
登入
选择语言

经注: An-Nahl 16:59

16:59
يتوارى من القوم من سوء ما بشر به ايمسكه على هون ام يدسه في التراب الا ساء ما يحكمون ٥٩
يَتَوَٰرَىٰ مِنَ ٱلْقَوْمِ مِن سُوٓءِ مَا بُشِّرَ بِهِۦٓ ۚ أَيُمْسِكُهُۥ عَلَىٰ هُونٍ أَمْ يَدُسُّهُۥ فِى ٱلتُّرَابِ ۗ أَلَا سَآءَ مَا يَحْكُمُونَ ٥٩
يَتَوَٰرَىٰ
مِنَ
ٱلۡقَوۡمِ
مِن
سُوٓءِ
مَا
بُشِّرَ
بِهِۦٓۚ
أَيُمۡسِكُهُۥ
عَلَىٰ
هُونٍ
أَمۡ
يَدُسُّهُۥ
فِي
ٱلتُّرَابِۗ
أَلَا
سَآءَ
مَا
يَحۡكُمُونَ
٥٩
他为这个噩耗而不与宗族会面,他多方考虑:究竟是忍辱保留她呢?还是把她活埋在土里呢?真的,他们的判断真恶劣。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Anajificha kwa kuchukia asionekane na watu wake, akiona aibu na kuingiwa na huzuni kwa habari iliyomchukiza ya kuzaliwa mtoto wa kike, huku akiwa ametunduwaa juu ya tukio la mtoto huyo aliyezaliwa: je, amuache kuishi kwenye hali ya unyonge na utwevu au amzike mchangani akiwa hai? Jueni mtanabahi kwamba ni uamuzi mbaya mno wanaouamua ya kuwafanya watoto wa kike ni wa Mwenyezi Mungu na watoto wakiume ni wao.