˹But˺ on the Day they will see the angels, there will be no good news for the wicked, who will cry, “Keep away! Away ˹from us˺!”1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Siku watakapowaona Malaika wakati wa kufa kwao, na wakiwa ndani ya makaburi yao na Siku ya Kiyama, kwa sura ambazo sizo zile walizozitaka, sio kuwapa bishara ya Pepo, lakini kuwaambia, «Mwenyezi Mungu Ameifanya Pepo ni mahali palipoharamishwa kwenu.»