登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Qamar 54:18

54:18
كذبت عاد فكيف كان عذابي ونذر ١٨
كَذَّبَتْ عَادٌۭ فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِى وَنُذُرِ ١٨
كَذَّبَتۡ
عَادٞ
فَكَيۡفَ
كَانَ
عَذَابِي
وَنُذُرِ
١٨
阿德人否认过先知,我的刑罚和警告是怎样的!
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Watu wa kabila la 'Ād walimkanusha Hūd tukawatesa, basi ilikuwa vipi vile nilivyowaadhibu wao kwa ukafiri wao na vile nilivyowaonya wao kwa kumkanusha Mtume wao na kutomuamini? Ilikuwa kubwa yenye uchungu.