登入
登入
登入
选择语言

经注: At-Tawbah 9:78

9:78
الم يعلموا ان الله يعلم سرهم ونجواهم وان الله علام الغيوب ٧٨
أَلَمْ يَعْلَمُوٓا۟ أَنَّ ٱللَّهَ يَعْلَمُ سِرَّهُمْ وَنَجْوَىٰهُمْ وَأَنَّ ٱللَّهَ عَلَّـٰمُ ٱلْغُيُوبِ ٧٨
أَلَمۡ
يَعۡلَمُوٓاْ
أَنَّ
ٱللَّهَ
يَعۡلَمُ
سِرَّهُمۡ
وَنَجۡوَىٰهُمۡ
وَأَنَّ
ٱللَّهَ
عَلَّٰمُ
ٱلۡغُيُوبِ
٧٨
难道他们不晓得真主是知道他们的隐情和密谋的,是深知一切幽玄的吗?难道他们不晓得吗?
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Kwani hawakujua wanafiki hawa kwamba Mwenyezi Mungu Anayajua wanayoyaficha ndani ya nafsi zao na yale wanayoyazungumza kwenye mabaraza yao ya vitimbi na njama na kwamba Mwenyezi Mungu ni Mjuzi sana wa yaliyofichika yote? Basi Atawalipa kwa matendo yao ambayo Amewahifadhia na kuwadhibitia.