登入
登入
登入
选择语言

经注: Ali 'Imran 3:138

3:138
هاذا بيان للناس وهدى وموعظة للمتقين ١٣٨
هَـٰذَا بَيَانٌۭ لِّلنَّاسِ وَهُدًۭى وَمَوْعِظَةٌۭ لِّلْمُتَّقِينَ ١٣٨
هَٰذَا
بَيَانٞ
لِّلنَّاسِ
وَهُدٗى
وَمَوۡعِظَةٞ
لِّلۡمُتَّقِينَ
١٣٨
这是对于世人的一种宣示,也是对于敬畏者的一种向导和教训。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hii Qur’ani ni ufafanuzi uliyo wazi na ni uongozi kwenye njia ya haki na ni ukumbusho ambao nyoyo za wachamungu zainyenyekea. Nao (hao wachamungu) ni wale wanaomuogopa Mwenyezi Mungu. Wamehusishwa nayo (hiyo Qur’ani kuwa nyoyo zao zinainyenyekea na kuikubali) kwa kuwa wao ndio wanaofaidika nayo, si wengine.