登入
登入
登入
选择语言

经注: Ali 'Imran 3:173

3:173
الذين قال لهم الناس ان الناس قد جمعوا لكم فاخشوهم فزادهم ايمانا وقالوا حسبنا الله ونعم الوكيل ١٧٣
ٱلَّذِينَ قَالَ لَهُمُ ٱلنَّاسُ إِنَّ ٱلنَّاسَ قَدْ جَمَعُوا۟ لَكُمْ فَٱخْشَوْهُمْ فَزَادَهُمْ إِيمَـٰنًۭا وَقَالُوا۟ حَسْبُنَا ٱللَّهُ وَنِعْمَ ٱلْوَكِيلُ ١٧٣
ٱلَّذِينَ
قَالَ
لَهُمُ
ٱلنَّاسُ
إِنَّ
ٱلنَّاسَ
قَدۡ
جَمَعُواْ
لَكُمۡ
فَٱخۡشَوۡهُمۡ
فَزَادَهُمۡ
إِيمَٰنٗا
وَقَالُواْ
حَسۡبُنَا
ٱللَّهُ
وَنِعۡمَ
ٱلۡوَكِيلُ
١٧٣
有人曾对他们说:那些人确已为进攻你们而集合队伍了,故你们应当畏惧他们。这句话却增加了他们的信念,他们说:真主是使我们满足的,他是优美的监护者!
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Wao ni wale walioambiwa na baadhi ya washirikina , «Abu Sufyani na wenzake wameamua kuwarudia nyinyi ili kuwamaliza, basi jihadharini nao na mjikinge na kukutana nao, kwani hamna nguvu za kupambana nao.» Tahadhari hiyo iliwazidishia yakini na kuikubali kikweli ahadi ya Mwenyezi Mungu kwao na haikuwazuia na uamuzi wao. Hapo walikwenda wakielekea pale Mwenyezi Mungu Alipotaka na wakasema, «Ḥasbunā Allāh wa Ni’ma al Wakīl» Yaani, Mtosheleza wetu ni Mwenyezi Mungu na Yeye Ndiye Wakili mwema Mwenye kutegemezewa mipango ya waja Wake.