登入
登入
登入
选择语言

经注: Ali 'Imran 3:174

3:174
فانقلبوا بنعمة من الله وفضل لم يمسسهم سوء واتبعوا رضوان الله والله ذو فضل عظيم ١٧٤
فَٱنقَلَبُوا۟ بِنِعْمَةٍۢ مِّنَ ٱللَّهِ وَفَضْلٍۢ لَّمْ يَمْسَسْهُمْ سُوٓءٌۭ وَٱتَّبَعُوا۟ رِضْوَٰنَ ٱللَّهِ ۗ وَٱللَّهُ ذُو فَضْلٍ عَظِيمٍ ١٧٤
فَٱنقَلَبُواْ
بِنِعۡمَةٖ
مِّنَ
ٱللَّهِ
وَفَضۡلٖ
لَّمۡ
يَمۡسَسۡهُمۡ
سُوٓءٞ
وَٱتَّبَعُواْ
رِضۡوَٰنَ
ٱللَّهِۗ
وَٱللَّهُ
ذُو
فَضۡلٍ
عَظِيمٍ
١٧٤
他们带着从真主发出的赏赐和恩惠转回来,他们没有遭受任何损失,他们追求真主的喜悦。真主是有宏恩的。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Basi wakarudi kutoka Ḥamrā’ al Asad kuja Madina wakiwa wana neema za Mwenyezi Mungu kwa kupata thawabu nyingi na nyongeza za daraja ya juu zitokazo Kwake, huku Imani na yakini zimeongezeka kwao, maadui wa Mwenyezi Mungu wamewadhalilisha, wamefaulu kwa kusalimika na kuuawa na kupigana, na wamefuata mambo ya kumridhisha Mwenyezi Mungu kwa kumtii Yeye na Mtume Wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye ihsani na vipawa vingi vyenye kuwaenea wao na wengineo.