登入
登入
登入
选择语言

经注: Ash-Shu'ara 26:207

26:207
ما اغنى عنهم ما كانوا يمتعون ٢٠٧
مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا۟ يُمَتَّعُونَ ٢٠٧
مَآ
أَغۡنَىٰ
عَنۡهُم
مَّا
كَانُواْ
يُمَتَّعُونَ
٢٠٧
那末,他们以前所享受的,对于他们,究竟有什么好处呢?
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hakutawafaa kitu kule kustarehe kwao kwa umri mrefu na maisha mazuri wasipotubia kutokana na ushirikina wao. Basi adhabu ya Mwenyezi Mungu ni yenye kuwashukia hivi karibuni (ulimwenguni) au baadaye (huko Akhera).