登入
登入
登入
选择语言

经注: Yunus 10:70

10:70
متاع في الدنيا ثم الينا مرجعهم ثم نذيقهم العذاب الشديد بما كانوا يكفرون ٧٠
مَتَـٰعٌۭ فِى ٱلدُّنْيَا ثُمَّ إِلَيْنَا مَرْجِعُهُمْ ثُمَّ نُذِيقُهُمُ ٱلْعَذَابَ ٱلشَّدِيدَ بِمَا كَانُوا۟ يَكْفُرُونَ ٧٠
مَتَٰعٞ
فِي
ٱلدُّنۡيَا
ثُمَّ
إِلَيۡنَا
مَرۡجِعُهُمۡ
ثُمَّ
نُذِيقُهُمُ
ٱلۡعَذَابَ
ٱلشَّدِيدَ
بِمَا
كَانُواْ
يَكۡفُرُونَ
٧٠
这只是今世的享受,然后他们只归于我,然后我将因他们不信道而使他们尝试严厉的刑罚。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Hakika wao wanastarehe ulimwenguni, kwa ukafiri wao na urongo wao, starehe fupi. Kisha ukomapo muda wao wa kuishi, kuja kwetu ndio mwisho wao. Kisha tutawaonjesha adhabu ya Jahanamu kwa kumkufuru kwao Mwenyezi Mungu, kumkanusha kwao Mitume wa Mwenyezi Mungu na kupinga kwao aya Zake.