登入
登入
登入
选择语言

经注: Al-Mu'minun 23:53

23:53
فتقطعوا امرهم بينهم زبرا كل حزب بما لديهم فرحون ٥٣
فَتَقَطَّعُوٓا۟ أَمْرَهُم بَيْنَهُمْ زُبُرًۭا ۖ كُلُّ حِزْبٍۭ بِمَا لَدَيْهِمْ فَرِحُونَ ٥٣
فَتَقَطَّعُوٓاْ
أَمۡرَهُم
بَيۡنَهُمۡ
زُبُرٗاۖ
كُلُّ
حِزۡبِۭ
بِمَا
لَدَيۡهِمۡ
فَرِحُونَ
٥٣
但他们为教义而分裂成许多宗派,各派都因自己的教义而沾沾自喜。
经注
层
课程
反思
答案
基拉特
圣训
Na wafuasi walipambanukana katika dini wakawa makundi na mapote, wakaifanya dini yao kuwa dini nyingi baada ya kuamrishwa wajikusanye pamoja. Kila kundi linajigamba kwa maoni yake, linadai kuwa kundi hilo liko kwenye haki na lingine liko kwenye batili. Katika haya pana onyo la kujiweka kwenye makundi na kupambanukana katika Dini.